WANAWAKE WAJIKOMBOA KIUCHUMI FUWAVITA KIJITONYAMA WILAYA YA KINONDONI JIJINI DAR ES SALAAM
wanawake wa fuwavita kijitonyama ambao wamejipanga kujikomboa kiuchumi kwa usindikaji wa vyakula vya asili .katika kukuza uchumi wa taifa pamoja na uchumi binafsi , wanawake hawa wenye ulemavu wa kusikiai wamejitoa kwa hali na mali kuji komboa kiuchumi kwa kujifunza na kuweka mipango mikakati ya ujasiliamali kwalengo la kuingiza kipato katika familia zao
No comments:
Post a Comment